Wednesday, April 5, 2017

Wabunge walioshinda nafasi ubunge wa EALA

April 5, 2017 Bunge limepiga kura za kuwapitisha wawakilishi wa bunge la Afrika Mashariki ambapo wagombea saba pekee ndio waliopitishwa kwa kupigiwa kura za ndio huku sita kati yao wakitokea Chama cha mapinduzi (CCM) na mmoja Chama cha wananchi CUF  huku wagombea wawili wa CHADEMA wakikosa sifa baada ya kupigiwa kura nyingi za HAPANA.

1. Fancy Nkuhi
2. Happiness Legiko 
3. Maryam Ussi Yahya 
4. Dkt Abdullah Makame 
5. Dkt Ngwaru Maghembe 
6. Alhaj Adam Kimbisa
7.Habib Mnyaa (CUF)

Source:millardayo
Tuandikie Maoni Yako Hapa Chini. Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video za kufurahisha na kuvunja mbavu.

0 comments:

Post a Comment