Thursday, October 13, 2016

PICHA: TAZAMA KILIVYOHAPPEN KWENYE SEND-OFF YA CAPTAIN TUNDAMAN


Morogoro itazizima siku ya kesho baada ya msanii wa Bongo Fleva aliye chini ya Tiptop Connection Captain Tundaman kufunga ndoa pande hizo.
Usiku wa jana ilikuwa ni sherehe ya send-off, sherehe ambayo ilihudhuriwa na mastaa kadhaa pamoja na ndugu na rafiki wa karibu wa msanii huyo.

0 comments:

Post a Comment