Wednesday, November 9, 2016

Taifa lapoteza Waziri wa Elimu wa zamani, ni Joseph Mungai, Rais Magufuli amlilia



Rais Dkt. John Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Iringa kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa zamani wa Mufindi ambaye pia alikuwa Waziri wa Elimu, Mzee Mungayi kilichotokea leo Novemba 8.2016.




Mwanasiasa huyo mkongwe nchini alikihama chama chake cha CCM na kujiunga na chama cha siasa cha CHADEMA katika harakati za uchaguzi mkuu mwaka 2015.



Source:dewjiblog

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video




0 comments:

Post a Comment