Thursday, October 13, 2016

COLLABO YA AY NA TYGA BADO IPO, AY AMESEMA HAYA KUHUSU KUIACHIA


Miaka michache iliyopita Ay alitangaza kuwa na collabo na rapper wa Marekani Tyga, kama ulidhani hiyo collabo haipo Ay ana hili la kukwambia.
Akiwa anajibu maswali ya mashabiki wake Twitter, Ay amesema collabo hiyo ipo na muda ukifika ataiachia.
Madude yako kabatini nilizidisha mbio wakati industry haijafikia huko so nimeyatuliza nisubiri wakati wake ukifikahttps://twitter.com/abuuslimberg/status/786119721322151936 
Ay pia alisema ana ngoma mpya na producer maarufu wa Afrika kusini,Dj Maphorisa.

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video 


0 comments:

Post a Comment