Saturday, October 8, 2016

VANESSA MDEE ASHIRIKI KWENYE UANDISHI WA WIMBO MPYA WA MAFIKIZOLO


Muziki wa Tanzania unaendelea kukua siku baada ya siku na ndio maana kundi maarufu zaidi Afrika la Mafikizolo limemtumia Vanessa Mdee kwenye uandishi wa wimbo wao mpya.

Msanii wa kundi hilo, Nhlanhla nciza atoa taarifa hizo kwenye page yake ya Instagram
New single alert🚨 “kucheza” by @mafikizolo_africaproduced by @djmaphorisa and co written by east africa’s first lady of music, the beautiful @vanessamdee ,sa’s hip hop new kid @klyofficial ,@theomafikizolo and yours truly. can’t wait for y’all to hear it💋💋
#anothereast/southsound #hiphopmeetsraggameetsafropop
Wimbo huo unaitwa ‘Kucheza’

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video 


0 comments:

Post a Comment