Skip to content
Kutokana na historia ya matukio ya kutokuwa na maelewano mazuri baina ya wafugaji na wakulima katika mkoa wa Morogoro na wilaya zake, Jumapili ya October 16, 2016 imemfikisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba ambaye amekutana na kuzungumza na wakazi wa kijiji cha Mbwade, Kata ya Madoto, Wilaya ya Kilosa, Mkoani Morogoro juu ya athari za mabadiliko ya tabia nchi na athari zake kwa jamii.
Read More.......
By millardayo
Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa
0 comments:
Post a Comment