Monday, October 17, 2016

Maagizo 5 aliyoyatoa January Makamba kuhusu Migogoro ya Wakulima na Wafugaji Morogoro


Kutokana na historia ya matukio ya kutokuwa na maelewano mazuri baina ya wafugaji na wakulima katika mkoa wa Morogoro na wilaya zake, Jumapili ya October 16, 2016 imemfikisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba ambaye amekutana na kuzungumza na wakazi wa kijiji cha Mbwade, Kata ya Madoto, Wilaya ya Kilosa, Mkoani Morogoro juu ya athari za mabadiliko ya tabia nchi na athari zake kwa jamii.

Read More.......

By millardayo

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video 

0 comments:

Post a Comment