Leo Tanzania inaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki dunia.Kitaifa maadhimisho
haya huambatana na sherehe za kuzima Mwenge na kwa mwaka huu itafanyika katika
mkoa wa Simiyu.
Baba
wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiongea na
viongozi mbalimbali waliomtembelea Butiama
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa na
Waziri Mkuu wa India Indira Ghandi pamoja na Rais Kenneth Kaunda wa Zambia,
Rais Josef Tito wa Bulgaria, Milton Obote wa Uganda na Sir Seretse Khama wa
Botswana
Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video
0 comments:
Post a Comment