CHELSEA JANA IMEFUZU
Hatua ya tatu ya kombe la ligi
imecheza jana katika viwanja nane tofauti tofauti na kuweza kushuhudia klabu
nane zikifuzu
hatua hii na kwenda hatua ya nne ya kombe
hili la (EFL) English Football League.
hatua hii na kwenda hatua ya nne ya kombe
hili la (EFL) English Football League.
Klabu ambazo zilifanikiwa kufuzu katika
hatua hizi ni pamoja na Chelsea ambao wao
walikuwa katika uwanja wa Leicester City
King Power baada ya kuwafunga goli 4-2 na
mchezo mwingine ni Arsenal ambao walishinda goli 4-0 pamoja na Liverpool wao walipata goli 3-0.
hatua hizi ni pamoja na Chelsea ambao wao
walikuwa katika uwanja wa Leicester City
King Power baada ya kuwafunga goli 4-2 na
mchezo mwingine ni Arsenal ambao walishinda goli 4-0 pamoja na Liverpool wao walipata goli 3-0.
MATOKEO YA MICHEZO YA JANA
•Afc Bournemouth 2-3 Preston (AET)
•Afc Bournemouth 2-3 Preston (AET)
• Brighton 1-2 Reading
• Derby 0-3 Liverpool
•Everton 0-2 Norwich
• Leeds 1-0 Blackburn
• Leicester City 2-4 Chelsea
•Newcastle United 2-0 Golves
•Nottingham 0-4 Arsenal
Hata hivyo leo tena ligi hii inaendelea kwa takribani michezo
nane kama ilivyo siku ya jana. Na ratiba hii hapa:
MICHEZO YA LEO EFL
•Fulham V Bristol
Muda: 3:45 Usiku
•Fulham V Bristol
Muda: 3:45 Usiku
• Northampton V Manchester United
Muda: 3:45 Usiku
Muda: 3:45 Usiku
• Qpr V Sunderland
Muda: 3:45 Usiku
Muda: 3:45 Usiku
• Southampton V Crystal Palace
Muda: 3:45 Usiku
Muda: 3:45 Usiku
• Swansea V Manchester City
Muda: 3:45 Usiku
Muda: 3:45 Usiku
• West Brom V Accrington
Muda: 3:45 Usiku
Muda: 3:45 Usiku
• Stoke City V Hull City
Muda: 4:00 Usiku
Muda: 4:00 Usiku
• Tottenham V Gillingham
Muda: 4:00 Usiku.
Muda: 4:00 Usiku.
0 comments:
Post a Comment