Wednesday, May 24, 2017

Rais Magufuli amteua Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemteua Tixon Tuliangine Nzunda, kuwa kuwa Naibu Katibu Mkuu (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu.



Na Emmy Mwaipopo

Tuandikie Maoni Yako Hapa Chini. Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video za kufurahisha na kuvunja mbavu.

0 comments:

Post a Comment