African Lyon imekuwa timu ya kwanza kuifunga Simba SC tangu kuanza kwa ligi kuu Tanzania bara msimu huu wa 2016/17.
Bao pekee la Abdulla Msuhi limeifanya Simba kuangusha pointi tatu kwa mara ya kwanza msimu huu wakati raundi ya kwanza ikielekea ukingoni.
Read More..........
0 comments:
Post a Comment