Saturday, October 15, 2016

Mbwana Samatta atajwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika

Mshambuliaji wa Taifa Stars na klabu ya K.R.C. Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, ametajwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa shirikisho la soka barani Afrika, CAF.



Majina hayo 30 yametangazwa Jumamosi hii kupitia tovuti ya shirikisho hilo la soka barani.
caf-1
caf-2
caf-3



Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa


Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video 



0 comments:

Post a Comment