Tuesday, November 1, 2016

RATIBA YA MICHEZO YA LEO KATIKA USIKU WA UEFA



Usiku wa leo Jumanne ya November 1 barani Ulaya kuna muendelezo wa michezo ya Ligi ya Mabingwa barani humo.
Ni timu zilizopo katika makundi A,B,C na D ndizo ambazo zitamenyana leo ili kila moja kutafuta points ambazo zitamuwezesha kusonga katika hatua inayofuata katika ligi hiyo.
Iko hapa chini ratiba ya michezo yote ya usiku wa leo.
Group A
  1. Basel vs Paris Saint German
  2. Ludogorets Razgrad vs Arsenal
Group B
  1. Besiktas vs SSC Napoli
  2. Benfica vs Dynamo Kyiv
Group C
  1. Borussia Monchengladbach vs Celtic
  2. Manchester City vs Barcelona
Group D
  1. Atletico Madrid vs FC Rostov
  2. PSV Eindhoven vs Bayern Munich
Michezo yote hiyo itapigwa katika mishale ya saa 4:45 Usiku,

Source: perfect255

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video







0 comments:

Post a Comment