Saturday, November 19, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Akijibu changamoto hizo RC Makonda amehaidi kuwasiliana na viongozi wa usalama wa Taifa ili kuwaombea jengo lililoacha na hayati Aboud Jumbe ili walitumie kama ofisi, pia amepiga marufuku uchimbaji wa kokoto kwa eneo la Mji Mwema kwani unachochea uharibifu wa Mazingira,hatarishi kwa usalama wa wakazi waishio maeneo , pia maeneo hayo yanaweza kutumika kwa vitendo vya uhalifu.
0 comments:
Post a Comment