Thursday, November 3, 2016

Tanesco yatoa taarifa ya kutokuwepo umeme Ilala na Temeke kwa siku ya Jumamosi



hirika la umeme nchini (Tanesco) limetoa taarifa ya kufanya maboresho katika kituo kikubwa cha umeme Ilala na njia yenye msongo mkubwa wa umeme jambo ambalo litasababisha maeneo ya Ilala na Temeke kukosa umeme kwa siku ya Jumamosi kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 6 mchana.





Source: dewjiblog

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video




0 comments:

Post a Comment