Bila shaka ulikua na weekend nzuri pia, na kwa wale watu wangu kutoka Kenya najua ilikua poa zaidi baada ya kushuhudia bonge moja la show ya Mombasa Rocks iliyobeba mastaa wakubwa sana akiwemo Chris Brownkutoka Marekani, Wizkid wa Nigeria, Vanessa Mdee na Alikiba kutoka Tanzania.
Read More.....
0 comments:
Post a Comment